
Kutoka Afrika Kusini mapacha wawili wanawake, Owami na Olwethu wenye umri wa miaka 26 wameingia kwenye headline kutokana na kukubaliana kuolewa na mwanaume mmoja, Mzukiseni Mzazi ambapo mapacha hao wamesema walikuwa wakishirikiana kwa mambo mengi tangu wakiwa wadogo huku wakiwa na ndoto ya kuolewa na mwanaume mmoja.
Filed Under:
Matukio
on Tuesday, 10 February 2015
Post a Comment