Home
»
Matukio
»
GWAJIMA APATA DHAMANA MAHAKAMA YA KISUTU, DAR
Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima leo amepata dhamana Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar atarudi mahakamani hapo Mei 4, 2015. Josephat Gwajima ameshitakiwa kwa makosa mawili kutoa lugha ya matusi na kushindwa kutunza slaha.
Filed Under:
Matukio
on Friday, 17 April 2015
Post a Comment