MARIAH CAREY: SASA NAWEZA KUPENDA

 

 
Staa wa muziki wa Pop, Mariah Carey

STAA wa muziki wa Pop, Mariah Carey ameweka bayana kuwa sasa anaweza kupenda tena baada ya kuachana na mzazi mwenzake, Nick Cannon.

Mariah Carey akiwa na aliyekuwa mumewe Nick Cannon.

Staa huyo alisema kuwa lolote linawezekana chini ya jua na kwamba akipata anayempenda, hatajizuia kuwa naye hadharani.Akizungumza na tovuti ya people.com, staa huyo alisema kwamba hatasita kujiachia…





Staa wa muziki wa Pop, Mariah Carey

STAA wa muziki wa Pop, Mariah Carey ameweka bayana kuwa sasa anaweza kupenda tena baada ya kuachana na mzazi mwenzake, Nick Cannon.

Mariah Carey akiwa na aliyekuwa mumewe Nick Cannon.

Staa huyo alisema kuwa lolote linawezekana chini ya jua na kwamba akipata anayempenda, hatajizuia kuwa naye hadharani.Akizungumza na tovuti ya people.com, staa huyo alisema kwamba hatasita kujiachia na mtu atakayempenda kwani sasa hana kizuizi.

“Nikiwa kama binadamu nina haki ya kupenda na nikimpata ninayempenda, kila mtu atamjua kwa kuwa sitamficha. Hata akitaka kunioa pia nipo tayari,” alisema Mariah Carey mama wa watoto wawili, Oacha Monroe na Morocana aliowapata alipokuwa na mumewe Cannon.Staa wa muziki wa Pop, Mariah Carey



STAA wa muziki wa Pop, Mariah Carey ameweka bayana kuwa sasa anaweza kupenda tena baada ya kuachana na mzazi mwenzake, Nick Cannon.

Mariah Carey akiwa na aliyekuwa mumewe Nick Cannon.

Staa huyo alisema kuwa lolote linawezekana chini ya jua na kwamba akipata anayempenda, hatajizuia kuwa naye hadharani.Akizungumza na tovuti ya people.com, staa huyo alisema kwamba hatasita kujiachia na mtu atakayempenda kwani sasa hana kizuizi.

“Nikiwa kama binadamu nina haki ya kupenda na nikimpata ninayempenda, kila mtu atamjua kwa kuwa sitamficha. Hata akitaka kunioa pia nipo tayari,” alisema Mariah Carey mama wa watoto wawili, Oacha Monroe na Morocana aliowapata alipokuwa na mumewe Cannon.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright VIJIMAMBOZI Published.. Blogger Templates
Back To Top